Na Mwandishi Wetu,TimesMajira,Dar WATANZANIA wamehamasishwa kupenda na kushiriki katika utalii wa ndani kwa kupanda Mlima Kilimanjaro na kutembelea vivutio mbalimbali...
Judith Ferdnand
Na Judith Ferdinand,TimesMajira Online,Mwanza IMEELEZWA kuwa matumizi ya mfumo mpya wa ulipaji wa Kodi ya Majengo (NaPA) pamoja na mfumo...
Na Judith Ferdinand,TimesMajira Online,Mwanza WAZIRI wa Maji,Jumaa Aweso, amefanya mabadiliko ya uongozi katika Mamlaka ya Majisafi na Usafi wa Mazingira...
Na Judith Ferdinand, TimesMajira Online,Mwanza SERIKALI kupitia Waziri wa Maji Jumaa Aweso,imesema hakuna sababu ya Jiji la Mwanza kuwa na ...
Na Mwandishi Wetu,TimesMajira Online,Bukoba IMEELEZWA kuwa mradi wa ujenzi wa Bomba la Kusafirisha Mafuta Ghafi Afrika Mashariki (EACOP)kutoka Hoima nchini...
WAKALA wa Vipimo Tanzania (WMA) umewatahadharisha wafanyabiashara wanaokiuka sheria kwa kuchezea mizani na vipimo kuwa utawafuatilia waliko na kuwachukulia hatua...
Na Judith Ferdinand,TimesMajira Online, Mwanza NAIBU Waziri wa Viwanda na Biashara, Dennis Londo amewataka wafanyabiashara hapa nchini kutumia fursa zilizopo...
Na Mwandishi Wetu,TimesMajira Online,Mwanza MHITIMU wa Chuo cha Usimamizi wa Fedha (IFM), Gladness Silayo,amegeuza elimu ya Shahada ya Uhasibu na...
Na Judith Ferdinand,TimesMajira Online, Mwanza IMEELEZWA kuwa mikoa sita ya Kanda ya Ziwa imechangia kiasi cha sh. trilioni 54.4, sawa...
Na Mwandishi Wetu, TimesMajira Online,Mwanza CHUO cha Usimamizi wa Fedha (IFM), Kampasi ya Mwanza, kimesema ubunifu wa bidhaa unaofanywa na...
