Na Judith Ferdinand, Timesmajira Online-Mwanza SERIKALI kupitia Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji(EWURA), imepunguza masharti ya uwekezaji...
Biashara na Uchumi
Na Mwandishi wetu, Timesmajira Online Benki ya NMB imewekeza takribani dola za Marekani milioni 100, sawa na Shilingi bilioni 224,...
*Yatoa milioni 349 kwa kikundi cha Ukwavila Na Mwandishi Wetu, Timesmajira Online- Mbarali SERIKALI imeendelea kuwawezesha mitaji vijana ambapo imetoa...
*Mkalipa, asisitiza fedha kuelekezwa kwenye miradi husika na kurejesha kwa wakati *Hatua kuchukuliwa kwa watakaoshindwa kurejesha Judith Ferdinand, Timesmajira Online-Mwanza...
Na Mwandishi wetu,Timesmajira Benki ya Absa Tanzania, kwa ushirikiano na Microsoft na Women in Tech, imezindua rasmi Mpango wa ElevateHer...
Judith Ferdinand, Timesmajira Online-Mwanza Serikali kupitia Wizara ya Mifugo na Uvuvi imetoa kiasi cha shilingi bilioni 7, kwa ajili ya...
*Ukarabati uwanja wa ndege Sumbawanga wafikia asilimia 96 ‎Na Israel Mwaisaka, Timesmajira Online-Rukwa‎‎Naibu Waziri wa Uchukuzi, David Mwakiposa Kihenzile, ametoa...
Judith Ferdinand, Timesmajira Online-Mwanza Wafanyabiashara wa soko kuu jijini Mwanza,wamewatoa hofu wananchi wa mkoa huo juu ya kupanda kwa bei...
Na Mwandishi Wetu, Timesmajira Online-Kagera Mamlaka ya Uwekezaji na Maeneo Maalumu ya Kiuchumi Tanzania (TISEZA) imewahaidi wawekezaji wazawa kuwa itaanzisha...
Na Mwandishi Wetu, Timesmajira Online-Dodoma Mamlaka ya Udhibiti wa Huduma za Nishati na Maji ( EWURA) imetangaza bei kikomo za...
