Na.Mwandishi wetu,Timesmajira Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) limetangaza kuwa baadhi ya maeneo ya mikoa ya Morogoro na Tanga yatakosa huduma...
Na Joyce Kasiki, Dar es Salaam WAKALA wa Majengo Tanzania (TBA) umeendelea kutekeleza miradi ya ujenzi wa majengo ya serikali...
Na Mwandishi Wetu,Timesmajira Bodi ya Mkonge Tanzania imesema inaendelea kuhamasisha uwekezaji katika mnyororo mzima wa thamani wa zao la mkonge...
Na Mwandishi wetu,Timesmajiraonline,Arusha TAMASHA la Kimataifa la Sanaa na Utalii (Tanzania International Tourism Festival)linatarajia kufanyika mwezi Oktoba mwaka huu Jijini...
Na Joyce Kasiki ,Timesmajira online WAKULIMA nchini wamehimizwa kutumia mbegu zenye ubora uliothibitishwa ili kuongeza uzalishaji wa mazao, kuimarisha usalama...
Na Mwandishi Wetu, Timesmajira Online,Mbeya MKUU wa Wilaya ya Mbeya, Solomon Itunda, amesema Serikali ya Awamu ya Sita chini ya...
Na Mwandishi wetu,Timesmajira Benki ya NMB imeendelea kuonyesha nafasi yake katika kukuza sekta ya kilimo kwa kutoa suluhisho za kifedha...
Na Joyce Kasiki,Dar MKURUGENZI Msaidizi wa Sehemu ya Usuluhisho kutoka Wizara ya Katiba na Sheria, Felix Chakila, amesema wizara imeendelea...
Na Joyce Kasiki, Dar MAMLAKA ya Afya ya Mimea na Viuatilifu Tanzania (TPHPA) imewataka wakulima, wafanyabiashara wa mazao na wananchi...
Na Mwandishi Wetu, Timesmajira Online, Mbeya. SERIKALI ya Awamu ya Sita chini ya uongozi wa Rais Dk. Samia Suluhu Hassan...
