Na Mwandishi Wetu.TimesMajira MAKAMU wa Rais, Deogratius Ndejembi ameagiza mamlaka na tasisi zinazohusika kuchukua hatua za haraka kujiandaa ili kuzuia...
Na Zena Mohamed,TimesMajira Online,Dodoma NAIBU Katibu Mkuu Wizara ya Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum anayeshughulikia Maendeleo ya Jamii...
 Na Mwandishi Wetu,Dar BAADHI ya wasusi jijini Dar-es-Salaam wameiomba kampuni ya Darling Hair kupanua wigo wa programu yake ya Loyalty Program ili kuwafikia wasusi wengi zaidi, wakisema mpango huo umekuwa na manufaa kwao katika kipindi cha miaka miwili tangu kuanzishwa kwake. Rai hiyo imetolewa katika hafla ya kutimiza miaka miwili ya programu hiyo iliyowakutanisha wasusi kutoka Kariakoo,Magomeni,Manzese na maeneo ya jirani katika ukumbi wa Sinza Deluxe, jijini Dar-es Salaam. Hafla hiyo ilihusisha michezo, muziki, vyakula, zawadi na burudani mbalimbali. Queen Mgao,msusi kutoka Kariakoo amesema,kuongezwa kwa idadi ya wasusi wanaonufaika na programu hiyo kutawapa fursa zaidi ya  kukusanya  lebo  na  pointi ...
Na Israel Mwaisaka,Sumbawanga‎‎Mamlaka ya mawasiliano Tanzania (TCRA) Jana , septemba 10, 2026, imewakutanisha wadau mbalimbali mkoani Rukwa, wakiwemo watoa huduma...
Na Mwandishi Wetu, Timesmajira Online KAMPUNI ya Mawasiliano ya Yas Tanzania, imekabidhi vifaa vya kujifungulia na vifaa tiba katika Hospitali...
Na Mwandishi Wetu, TimesMajira Online,Tabora KILA mtumishi aliyepewa dhamana ya kutumikia wananchi ndani ya Serikali mkoani Tabora ametakiwa kuwa mstari...
Na Mwandishi Wetu,TimesMajira,Dar WATANZANIA wamehamasishwa kupenda na kushiriki katika utalii wa ndani kwa kupanda Mlima Kilimanjaro na kutembelea vivutio mbalimbali...
Na Mwandishi Wetu,TimesMajira KAMPUNI ya kimataifa ya QNET inayojihusisha na bidhaa za mtindo wa maisha na ustawi kupitia mfumo wa...
Na Mwandishi Wetu,TimesMajira WAFUGAJI nchini wanatarajiwa kuongeza tija na uzalishaji wa maziwa kupitia Mradi wa Tuzo Shindani za Watoa Huduma...
Na Mwandishi Wetu, Kigoma HALMASHAURI zilizopo Mkoa wa Kigoma zimetangaza zabuni za umma zenye thamani ya zaidi ya Sh.500 milioni...
