Na Judith Ferdinand, Mwanza HALMASHAURI ya Manispaa ya Ilemela mkoani Mwanza,imefanikiwa kukusanya zaidi ya bilioni 16.6, kwa mwaka wa fedha...
Judith Ferdinand, Timesmajira Online- Mwanza IMEELEZWA kuwa Serikali imechukua na itaendelea kuchukua hatua mbalimbali ili kuhakikisha vyakula vinavyotumika kulisha samaki...
Na Mwandishi wetu,Timesmajira Waziri wa Uchukuzi, Prof. Makame Mbarawa, Agosti 5, 2026, ameshuhudia hafla ya utiaji saini wa Hati ya...
Na Mwandishi Wetu, Timesmajira Online NDOTO ya mkazi wa Vikindu, Mohammed Misanga, ya kuboresha huduma za afya katika jamii yake...
Na Mwandishi wetu,Dodoma MKURUGENZI wa Tafiti na Uchumi Benki Kuu ya Tanzania (BoT), Dkt. Suleiman Misango, amevutiwa na jinsi Mfumo...
Na Mwandishi Wetu NAIBU Waziri wa Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wanawake na Makundi Maalum ambaye pia ni Mbunge wa Viti...
Na Joyce Kasiki,Timesmajira online, Dodoma MKUU wa Jeshi la Kujenga Taifa (JKT), Meja Jenerali Rajabu Mabele, amesema JKT itaendelea kutoa...
Na.Mwandishi wetu,Timesmajira Waziri wa Nishati,Deogratius Ndejembi, amesema Afrika ina fursa ya kutumia rasilimali zake za gesi asilia kuharakisha upatikanaji wa...
Na Mwandishi wetu,Timesmajira Wizara ya Nishati inaendelea kuhakikisha elimu kuhusu nishati safi ya kupikia inawafikia wananchi wa makundi mbalimbali ikiwemo...
Na.Mwandishi wetu,Timesmajira Serikali ya Awamu ya Sita imesema itahakikisha usalama na afya ya Watanzania wanaofanya kazi kwenye migodi ya dhahabu...
