Na Mwandishi Wetu, TimesMajira Online,Mwanza JESHI la Polisi Mkoa wa Mwanza limeanza kuchukua hatua na kufanyia kazi malalamiko ya wananchi...
Judith Ferdnand
Na Mwandishi Wetu,TimesMajira,Dar MKUU wa Wilaya ya Ilala, Edward Mpogolo, amewataka wananchi wilayani humo mkoani Dar-es-Salaam wanaoishi maeneo hatarishi hususani...
Na Mwandishi Wetu, TimesMajira Online,Dar WASUSI mbalimbali hapa nchini wamehimizwa kutumia programu maalumu ya kampuni ya Darling Hair inayojulikana kama...
Na Mwandishi Wetu, TimesMajira,Dar MRADI wa Mawasiliano umewezesha kuboresha upatikanaji wa mawasiliano na huduma za Serikali kwa njia ya kielektroniki...
Na Judith Ferdinand, TimesMajira Online,Mwanza SHIRIKA la kuteta haki za wanawake na watoto Kivulini,husaidia kujenga jamii yenye usawa wa kijinsia,familia...
Judith Ferdinand,TimesMajira Online,Mwanza HALMASHAURI ya Manispaa ya Ilemela mkoani Mwanza imetenga zaidi ya sh. milioni 620 kwa ajili ya mikopo...
Na Judith Ferdinand,Mwanza KIJANA mmoja anayekadiriwa kuwa na umri kati ya miaka 30 hadi 35,amefariki kwa kupigwa risasi kwa tuhuma...
Na Mwandishi Wetu,Dar MKUU wa Wilaya ya Ilala mkoani Dar-es-Salaam Edward Mpogolo, ameagiza Halmashauri ya Jiji la Dar-es-Salaam kushirikiana na...
Na Mwandishi Wetu,TimesMajira Online,Dar BAADHI ya wasusi jijini Dar-es-Salaam wameiomba kampuni ya Darling Hair kupanua wigo wa programu yake ya Loyalty Program ili kuwafikia wasusi wengi zaidi, wakisema mpango huo umekuwa na manufaa kwao katika kipindi cha miaka miwili tangu kuanzishwa kwake. Rai hiyo imetolewa katika hafla ya kutimiza miaka miwili ya programu hiyo iliyowakutanisha wasusi kutoka Kariakoo,Magomeni,Manzese na maeneo ya jirani katika ukumbi wa Sinza Deluxe, jijini Dar-es Salaam. Hafla hiyo ilihusisha michezo, muziki, vyakula, zawadi na burudani mbalimbali. Queen Mgao,msusi kutoka Kariakoo amesema,kuongezwa kwa idadi ya wasusi wanaonufaika na programu hiyo kutawapa fursa zaidi ya kukusanya lebo na...
Na Mwandishi Wetu, TimesMajira Online,Tabora KILA mtumishi aliyepewa dhamana ya kutumikia wananchi ndani ya Serikali mkoani Tabora ametakiwa kuwa mstari...
