Na Mwandishi wetu,Timesmajira Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Maendeleo ya Biashara Tanzania (TanTrade), Ephraim Balozi Mafuru, leo amekutana na Balozi...
Na Zena Mohamed,Timesmajiraonline,Dodoma SERIKALI imesisitiza kuwa itaendelea kuunga mkono taasisi zinazowezesha maendeleo ya sekta ya kilimo, ikieleza kuwa sekta hiyo...
Na.Mwandishi wetu,Timesmajira Tume ya Madini imeendelea kuimarisha ukaguzi wa migodi nchini ili kuhakikisha shughuli zote za uchimbaji zinafanyika kwa kuzingatia...
Na Mwandishi wetu,Timesmajira Kampuni ya CDICD Group Limited imeendelea kuimarisha mnyororo wa thamani katika Sekta ya Madini kwa kuchakata madini...
Na Mwandishi Wetu,Timesmajiraonline,Arusha WAFUGAJI nchini wamehimizwa kuwekeza katika matumizi ya mbegu bora za mifugo ili kuongeza uzalishaji wa nyama, kuboresha...
Na Mwandishi Wetu, Timesmajira Online-Tabora WAKULIMA wa zao la tumbaku na mazao mengine mkoani Tabora wametakiwa kuchangamkia mbolea ya Fomi...
Na Mwandishi wetu,Timesmajira Shirika lisilo la kiserikali la Msichana Initiative limewapa mafunzo waandishi wa habari ili kuwajengea uwezo wa kutumia...
Na Joyce Kasiki, Dodoma Ofisi ya Taifa ya Takwimu (NBS) imewataka wananchi, wawekezaji na wadau mbalimbali kushirikiana na taasisi hiyo...
Na Joyce Kasiki, Dodoma MENEJA Masoko na Uhamasishaji wa Mfuko wa SELF Microfinance Fund, Linda Mshana, amewataka vijana, wajasiriamali, wakulima,...
Na Mwandishi Wetu, Timesmajira Online- Dodoma WITO umetolewa kwa wananchi kuwa mstari wa mbele katika kulinda miundombinu ya barabara kwa...
