Na Mwandishi Wetu, Timesmajira Online
Shirikisho la Soka Barani Afrika (CAF), limezipa Tanzania, Kenya na Uganda uenyeji wa Fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON) 2027.
Pamoja na kuzipa nchi hizo za Afrika Mashariki uenyeji wa AFCON ya 2027, Rais wa CAF, Dk. Patrice Motsepe ameitaja Morocco kuwa mwenyeji wa AFCON ya 2025.

More Stories
Dkt.Yonanzi ataka AFCON iwe fursa kujitangaza Kimataifa
Serikali yaimarisha maandalizi ya wanaparalimpiki Nchini
Yas yaendelea kuunga mkono Selous Marathon