Na Mwandishi Wetu, Timesmajira Online
Shirikisho la Soka Barani Afrika (CAF), limezipa Tanzania, Kenya na Uganda uenyeji wa Fainali za Kombe la Mataifa ya Afrika (AFCON) 2027.
Pamoja na kuzipa nchi hizo za Afrika Mashariki uenyeji wa AFCON ya 2027, Rais wa CAF, Dk. Patrice Motsepe ameitaja Morocco kuwa mwenyeji wa AFCON ya 2025.

More Stories
Magu bingwa UMITASHUMTA
Washindi ‘Kila muamala bao la ushindi’ wakabidhiwa zawadi
Mtanda ahimiza uwiano kwenye michezo,masomo.