Na Mwandishi Wetu, TimesMajira Online, Dar es Salaam
MGOMBEA Ubunge wa Jimbo la Liwale, kupitia Chama Cha Mapinduzi (CCM), Amando James Malugu ambaye ni amechukua fomu ya kuwania kiti hicho.
Akizungumza baada ya kukabidhiwa fomu katika Ofisi za Chama Cha Mapinduzi (CCM) Malugu amesema lengo kuu ni kushiriki katika kumsaidia Rais Dkt John Magufuli kuleta maendeleo nchini.
Amando amesema atahakikisha atashirikiana na Wana-CCM kusimamia ilani ya Chama Cha Mapinduzi katika utekelezaji.


More Stories
Utu wa Taifa hupimwa kwa namna linavyowajali wazee wake: Mahundi
Sh.1 bil ,kukarabati makazi ya wazee
PPRA yashinda Tuzo, yaahidi kuendelea kuhudumia wananchi