Na Zuhura Zukheir, TimesMajira Online, Dar es Salaam
Aliyekuwa Mbunge wa Jimbo la Mafinga, Cosato Chumi amefika katika ofisi za Chama Cha Mapinduzi, Wilaya ya Mufindi kuchukua fomu ya kuomba ridhaa kuteuliwa kugombea Ubunge Jimbo la Mafinga kupitia chama hicho.
Chumi anachukua fomu ya kugombea ubunge katika jimbo hilo kutetea kiti cha ubunge.

More Stories
Kamati yapongeza WRRB, yataka WRS itumike kwa parachichi
Diplomasia ya Uchumi Kuimarisha Nafasi Tanzania Kiuchumi
Tanga kujiandaa kupokea Gesi Asilia kwa matumizi