Na Joyce Kasiki, TimesMajira Online, Dodoma
MBUNGE wa Konde Khatib Said Haji (ACT-Wazalendo) amefariki alfajiri ya leo katika hospitali ya Taifa ya Muhimbili alikokuwa akipatiwa matibabu.
Akitoa taarifa leo Bungeni jijini Dodoma,Naibu Spika Dkt.Tulia Ackson amesema mwili wa mbunge huyo utazikwa leo saa kumi jioni visiwani Zanzibar.
Kufutia kifo cha Mbunge huyo Bunge limeahirishwa hadi kesho saa tatu asubuhi.

More Stories
Wananchi Wahimizwa Kutafuta Ushauri wa Kisaikolojia kwa Wataalamu
Kihongosi amuita Msigwa Kanjanja wa Siasa
TBS YAJIPANGA KIDIGITALI, YAIMARISHA MAABARA KWA SOKO LA DUNIA