May 16, 2024

Timesmajira

Gazeti Huru La Kila Siku

Mwenyekiti wa Jukwaa la Wahariri Tanzania, Deodatus Balile

BREAKING NEWS: Deodatus Balile Mwenyekiti Jukwaa la Wahariri

Na Mwandishi Wetu, TimesMajira Online, Morogoro

ALIYEKUWA Makamu Mwenyekiti wa Jukwaa la Wahariri nchini (TEF) Deodatus Balile, ameshinda nafasi hiyo dhidi ya mpinzani wake Nevile Meena, katika Uchaguzi Mkuu uliofanyika leo.

Balile ampata kura 57 na Meena kura 22 ambapo idadi ya wapiga kura ilikuwa 79 katika uchaguzi unaofanyika mkoani Morogoro, katika Ukumbi wa Nashera.