Na Mwandishi Wetu, TimesMajira Online, Morogoro
ALIYEKUWA Makamu Mwenyekiti wa Jukwaa la Wahariri nchini (TEF) Deodatus Balile, ameshinda nafasi hiyo dhidi ya mpinzani wake Nevile Meena, katika Uchaguzi Mkuu uliofanyika leo.
Balile ampata kura 57 na Meena kura 22 ambapo idadi ya wapiga kura ilikuwa 79 katika uchaguzi unaofanyika mkoani Morogoro, katika Ukumbi wa Nashera.
More Stories
Absa Dar City waunga mkono juhudi za Serikali uboreshaji Afya
Ndejembi atoa onyo kwa waajiri wasiowasilisha michango ya wafanyakazi wao NSSF
PSSSF yawanoa Jeshi la Polisi Tanzania kuwasilisha nyaraka kidijitali