Na Mwandishi Wetu, TimesMajira Online, Morogoro
ALIYEKUWA Mjumbe wa Jukwaa la Wahariri nchini (TEF) Bakari Machumu (pichani), ameshinda nafasi hiyo dhidi ya mpinzani wake Joyce Shebe, katika Uchaguzi Mkuu uliofanyika leo.
Machumu ampata kura 53 na Shebe kura 26 ambapo idadi ya wapiga kura ilikuwa 79 katika uchaguzi unaofanyika mkoani Morogoro, katika Ukumbi wa Nashera.
More Stories
PSSSF yawanoa Jeshi la Polisi Tanzania kuwasilisha nyaraka kidijitali
Mtoto wa miaka mitatu adaiwa kuuwawa kwa kushambuliwa na fimbo na baba yake
Wawili mbaroni kwa tuhuma za kukutwa na bunduki