Waziri wa Mambo ya Nje na ushirikiano wa Afrika Mashariki, Dkt. Stergomena Tax (Mb.) ameapishwa kuwa Mjumbe wa Baraza la Maamuzi wa Bunge la Afrika Mashariki (EALA) jana Jijini Arusha.Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Mbarouk Nassor Mbarouk ameapishwa kuwa Mjumbe wa Baraza la Maamuzi katika Bunge la Afrika Mashariki (EALA) jana Jijini Arusha
More Stories
Itunda-michezo ni uchumi ataka amani Tulia Cup
Watu wanne wafariki kwa ajali jijini Mbeya
Milioni 299 kutumika kujenga ofisi za kata