Na Mwandishi wetu, TimesMajira Online Waziri wa Mambo ya Nje na ushirikiano wa Afrika Mashariki, Dkt. Stergomena Tax (Mb.) ameapishwa kuwa Mjumbe wa Baraza la Maamuzi wa Bunge la Afrika Mashariki (EALA) jana Jijini Arusha. Naibu Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Mbarouk Nassor Mbarouk ameapishwa kuwa Mjumbe wa Baraza la Maamuzi katika Bunge la Afrika Mashariki (EALA) jana Jijini Arusha Post Views: 180 Continue Reading Previous CCM Ilemela yakemea makundi CCM, yampongeza Dkt. Angeline kuchaguliwa NEC – CCMNext Mmomonyoko wa maadili kichocheo Ukatili, Unyanyasaji More Stories 2 min read Habari Serikali yatunga sera ya taifa ya mwaka 2024 kupambana na dawa za kulevya May 16, 2024 zena chitwanga 1 min read Habari Rais Samia afanya teuzi mbalimbali May 16, 2024 Jackline Mkota 2 min read Habari Serikali yaishukuru Canada kwa kuendelea kuipa misaada May 16, 2024 Jackline Mkota
More Stories
Serikali yatunga sera ya taifa ya mwaka 2024 kupambana na dawa za kulevya
Rais Samia afanya teuzi mbalimbali
Serikali yaishukuru Canada kwa kuendelea kuipa misaada