May 18, 2024

Timesmajira

Gazeti Huru La Kila Siku

Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Profesa Joyce Ndalichako

Walimu washikiliwa kwa tuhuma za wizi wa mitihani dasara la 7

Na Allan Vicent, TimesMajira Online,Tabora

TAASISI ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) Mkoani Tabora inawashikilia Walimu 4 akiwemo Mwalimu Mkuu wa shule ya msingi Chabutwa wilayani Sikonge kwa kosa la kujihusisha na wizi wa mitihani ya darasa la saba iliyomalizika jana hapa nchini.

Waziri wa Elimu, Sayansi na Teknolojia Profesa Joyce Ndalichako

Akitoa taarifa kwa vyombo vya habari jana Mkuu wa TAKUKURU Mkoani hapa Mussa Chaulo alitaja walimu waliokamatwa kuwa ni Halima Joachim Kamilius, Ng’walu Biura Ndaturu wote kutoka shule ya msingi Chabutwa na Nyerembe Michael Kikudo wa shule ya msingi Sikonge aliyekuwa msimamizi wa mitihani.

Kwa habari zaidi soma Gazeti la Majira kesho Oktoba 9, 2020