Na Penina Malundo, TimesMajira Online, DSM
VIONGOZI wa Chama cha Demokrasia na Maendeleo (CHADEMA) wameondoka Ofisi za Makao Makuu wamewasili Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Julius Nyerere (JNIA), kumpokea Makamu Mwenyekiti wa Chama Taifa (Bara) . Tundu Lissu .
Lissu atatua uwanjani hapo saa 7.20 mchana huu. Baada ya kupokelewa JNIA, Makamu Mwenyekiti huyo ataelekea Ofisi za Makao Makuu ya Chadema, Mtaa wa Ufipa, jijini Dar es Salaam, ambako atazungumza na Waandishi wa Habari.

More Stories
Wananchi Idodi wamlilia Lukivi,watandika kanga vitenge barabarani
Matukio katika picha:Misa ya kuombea na kuaga mwili wa Lukuvi
Mwili wa Lukuvi wawasili nyumbani kwake