Mwandishi Wetu, Timesmajira Online Serikali imewataka wafungwa watakaomaliza kutumikia vifungo vyao gerezani kutumia ujuzi waliopata kujitengenezea kipato ili kuepuka kujiingiza...
Na Mwandishi Wetu,Timesmajiraonline, Mbozi. WATUMISHI wanne katika Hospitali ya Wilaya ya Mbozi, mkoani Songwe wamekamatwa na Jeshi la Polisi wakituhumiwa...
Na Mwandishi wetu, TimesMajira Online KATIKA kuhakikisha wapenzi wa Filamu wanaelimika na kuburdika chaneli ya Sinema zetu kupitia kisimbuzi cha...
Na Cresensia Kapinga, TimesimajiraOnline, Namtumbo BOHARI ya Dawa (MSD) imekabidhi vifaa tiba vya kisasa vya upasuaji kwa Kituo cha Afya...
KITUO cha Sheria na Haki za Binadamu (LHRC) kimeipongeza Serikali ya awamu ya sita chini ya uongozi wa Rais Samia...
Na Mwandishi Wetu,TimesmajiraOnline KILIO cha muda mrefu cha Watanzania hasa wanasiasa cha kudai uchaguzi huru pamoja na mambo mengi kimeanza...
Na Mwandishi Wetu Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia masuala ya Sera, Bunge na Uratibu Mhe. Ummy Nderiananga amezihimiza...
Na Penina Malundo, timesmajira MAMLAKA ya Majisafi na Usafi wa Mazingira Shinyanga (SHUWASA),imesema kuwa ziwa victoria imekuwa chanzo kwa wakazi...
Na Zena Mohamed,Timesmajiraonline,Dodoma. WACHAMBUZI wa mifumo ya TEHAMA (Business Analysts) katika taasisi za umma, wametakiwa kuongeza elimu na kupata maarifa...
Na Zena Mohamed,Timesmajiraonline,Dodoma BAADHI ya wananchi Mtaa wa Chimalaa na Ntyuka Jijini hapa wamemuomba Rais wa Jamhuri ya Muungano wa...
