Na Mwandishi wetu, TimesMajira Online
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan amemteua aliyekuwa Katibu Mkuu wa CCM, Daniel Chongolo kuwa Mkuu wa Mkoa wa Songwe.
Dkt. Samia Suluhu Hassan amemuhamisha Dr. Batilda Salha Burian kutoka Mkoa wa Tabora kwenda kuwa Mkuu wa Mkoa wa Tanga akichukua nafasi ya Waziri Kindamba.
Rais Samia pia amemteua aliyekuwa DC wa Misungwi Paul Chacha kuwa Mkuu wa Mkoa wa Tabora akichukua nafasi ya Dr. Batilda.
More Stories
Breaking News: Rais Samia afanya uteuzi
Breaking News: Makalla achukua mikoba ya Makonda
Makonda ateuliwa kuwa Mkuu wa Mkoa wa Arusha