Na Mwandishi Wetu, Unguja Rais wa Zanzibar Dkt.Hussein Ali Mwinyi ametembelea Banda la Shirika la Mawasiliano Tanzania (TTCL) kwenye Tamasha...
Na.Mwandishi wetu,Timesmajira Wizara ya Nishati pamoja na taasisi zake imetunukiwa tuzo ya kutambua mchango wake katika kufanikisha Mdahalo wa Nishati...
Na Mwandishi wetu GEREZA la Kwamngumi mkoani Tanga limemkabidhi aliyekuwa mfungwa, Ndugu Tumaini Mahuji, vifaa mbalimbali vya ujenzi baada ya...
Na Mwandishi Wetu KAIMU Mkurugenzi Mkuu wa Tume ya Ushindani (FCC), Khadija Ngasongwa, ameanza ziara ya kikazi mkoani Mwanza kwa...
Na Mwandishi wetu,Timesmajiraonline,Dodoma WAZIRI wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu (Sera, Bunge, Uratibu na Wenye Ulemavu), Prof. Palamagamba Kabudi, amehimiza...
Na.Mwandishi wetu,Timesmajira Wakala wa Nishati Vijijini (REA) umefanikiwa kusambaza takribani mitungi laki saba ya gesi ya kupikia (LPG) nchini kote,...
Na Mwandishi wetu,Timesmajira Taasisi ya Moyo Jakaya Kikwete (JKCI) imetakiwa kuangalia namna ya kupeleka huduma za uchunguzi na matibabu ya...
Na Judith Ferdinand, Timesmajira Online- Mwanza ZAIDI ya wananchi 34,000 wa kata za Bugogwa,Sangabuye,Kahama na Shibula wilayani Ilemela mkoani Mwanza,wameanza...
‎Na Israel Mwaisaka, Rukwa‎‎Mkuu wa Mkoa wa Rukwa, Charles Makongoro Nyerere, ameyataka mashirika yasiyo ya kiserikali (NGOs) mkoani Rukwa kuoanisha...
Na Mwandishi Wetu,Timesmajira Online. Ufaransa WAKATI Dunia ikiadhimisha Siku ya Kimataifa ya Bia jana, Serengeti Breweries Limited (SBL) inaungana na...
