May 17, 2024

Timesmajira

Gazeti Huru La Kila Siku

Kamati ya Bunge yakagua ujenzi makazi ya askari zimamoto

Na Mwandishi wetu, TimesMajira Online

Kamati ya Kudumu ya Bunge Mambo ya Nje, Ulinzi na Usalama ikiongozwa na Makamu Mwenyekiti wa Kamati hiyo Mhe. Vincent Mbogo (Mb) imefanya ziara na kukagua maendeleo ya ujenzi wa nyumba za makazi ya Askari wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji unaoendelea katika eneo la Kikombo Jijini Dodoma Novemba 04, 2023.
Kamati ya Kudumu ya Bunge Mambo ya Nje, Ulinzi na Usalama (NUU) ikiongozwa na Makamu Mwenyekiti wa Kamati hiyo Mhe. Vincent Mbogo (Mb) wakipata maelezo ya ramani ya mradi ujenzi wa nyumba za makazi ya Askari wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji unaoendelea katika eneo la Kikombo Jijini Dodoma Novemba 04, 2023.

Matukio mbalimbali katika picha