Na Mwandishi wetu, TimesMajira Online Kamati ya Kudumu ya Bunge Mambo ya Nje, Ulinzi na Usalama ikiongozwa na Makamu Mwenyekiti wa Kamati hiyo Mhe. Vincent Mbogo (Mb) imefanya ziara na kukagua maendeleo ya ujenzi wa nyumba za makazi ya Askari wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji unaoendelea katika eneo la Kikombo Jijini Dodoma Novemba 04, 2023. Kamati ya Kudumu ya Bunge Mambo ya Nje, Ulinzi na Usalama (NUU) ikiongozwa na Makamu Mwenyekiti wa Kamati hiyo Mhe. Vincent Mbogo (Mb) wakipata maelezo ya ramani ya mradi ujenzi wa nyumba za makazi ya Askari wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji unaoendelea katika eneo la Kikombo Jijini Dodoma Novemba 04, 2023. Matukio mbalimbali katika picha Post Views: 140 Continue Reading Previous Zaidi ya watu 2000 kushiriki tamasha la Jinsia DarNext Watakiwa kusafirisha Korosho kupitia Bandari ya Mtwara More Stories 1 min read Habari Watoto 194 wapewa mimba ndani ya mwezi mmoja May 17, 2024 zena chitwanga 2 min read Habari Serikali yatunga sera ya taifa ya mwaka 2024 kupambana na dawa za kulevya May 16, 2024 zena chitwanga 1 min read Habari Rais Samia afanya teuzi mbalimbali May 16, 2024 Jackline Mkota
More Stories
Watoto 194 wapewa mimba ndani ya mwezi mmoja
Serikali yatunga sera ya taifa ya mwaka 2024 kupambana na dawa za kulevya
Rais Samia afanya teuzi mbalimbali