Na Mwandishi Wetu,Timesmajiraonline,Mara
Leo Juni 30, 2025, Mbunge aliyemaliza muda wake wa viti Maalumu Mkoa wa Mara Ghati Zephania Chomete, amechukua fomu kuomba kuteuliwa kugombea ubunge kuwakilisha wanawake kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM) kwa mkoa huo.
Ghati Chomete amekabidhiwa fomu hiyo Juni 30, 2025, makao Makuu ya CCM Mkoa yaliyopo Mjini Musoma na Katibu wa Jumuiya ya Umoja wa Wanawake wa Chama cha Mapinduzi Tanzania (UWT) Mkoa wa Mara Nderi Amos Isangya.



More Stories
Senyamule:Serikali inapaswa kuzitambua Kampuni zinazofanya biashara ya ardhi
Serikali kuendelea kupanua fursa elimu Singida
Kumekucha CDF Cup 2026, NMB yaweka Sh milioni 150