Fresha Kinasa,TimesMajira Online,Mara.
MJUMBE wa Baraza kuu la Jumuiya ya Umoja wa Wanawake wa Chama cha Mapinduzi Tanzania ( UWT) Mkoa wa Mara Rhobi Samwelly amechukua fomu ya kuombe kuteuliwa kugombea Ubunge kuwakilisha Wanawake (Viti Maalumu) kupitia chama Cha Mapinduzi Mkoa huo.Â
Rhobi Samwelly amekabidhiwa fomu hiyo Juni 30, 2025 na Katibu wa Jumuiya ya Umoja wa Wanawake wa Chama cha Mapinduzi Tanzania (UWT) Mkoa wa Mara Nderi Amos Isangya


More Stories
RC akemea uvuvi haramu
DC:World Vision chachu ya maendeleo nchini
Usimikaji mitambo hewa tiba wamkosha Kihongosi