Fresha Kinasa,TimesMajira Online,Mara.
MJUMBE wa Baraza kuu la Jumuiya ya Umoja wa Wanawake wa Chama cha Mapinduzi Tanzania ( UWT) Mkoa wa Mara Rhobi Samwelly amechukua fomu ya kuombe kuteuliwa kugombea Ubunge kuwakilisha Wanawake (Viti Maalumu) kupitia chama Cha Mapinduzi Mkoa huo.Â
Rhobi Samwelly amekabidhiwa fomu hiyo Juni 30, 2025 na Katibu wa Jumuiya ya Umoja wa Wanawake wa Chama cha Mapinduzi Tanzania (UWT) Mkoa wa Mara Nderi Amos Isangya


More Stories
Mfanyabiashara,vibarua mbaroni wakituhumiwa kuchimba mahandakiÂ
Silinde azindua baraza la sita la Wafanyakazi Tume ya Taifa ya Umwagiliaji
NMB ilivyosaidia Serikali kukusanya zaidi ya Sh trilioni 9.8