Na Mwandishi Wetu, Timesmajira Online-Sengerema ​Mahakama ya Wilaya ya Sengerema mkoani Mwanza imemhukumu Novina Kuboja (23), ambaye ni mkulima na...
Judith Ferdnand
*Mhandisi Kalimba asisitiza mifumo yenye kuzingatia viwango vya kimataifa Na Judith Ferdinand, Timesmajira Online -Arusha SERIKALI kupitia Bodi ya Mfuko...
*Huku wakisisitizwa kudumisha haki na kuombea amani katika jamii na taifa Na Judith Ferdinand, Timesmajira Online- Mwanza WAUMINI wa Kikristo...
*Ni baada ya dereva kumkwepa mpanda baiskeli aliyekuwa ameanguka barabarani *Wawili wameruhusiwa,wanne wanaendelea na matibabu Judith Ferdinand, Timesmajira Online-Mwanza MADAKTARI...
Na Mwandishi Wetu, Timesmajira Online-Sikonge MABINTI zaidi ya 34 waliokosa fursa ya kupata elimu ya sekondari wilayani Sikonge mkoani Tabora...
*Amtaka mkandarasi kuhakikisha unakamilika kwa wakati Na Agnes Alcardo, Timesmajira Online-Kagera KATIBU wa NEC, Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa Chama...
Na Judith Ferdinand, Timesmajira Online-Mwanza IKIWA imesalia siku moja kukamilika kwa zoezi la utoaji chanjo ya polio kwa watoto chini...
Judith Ferdinand, Timesmajira Online-Mwanza Tamasha maarufu la kukuza utamaduni na utalii nchini (Chief Hangaya Utamaduni Festival), linatarajia kufanyika kwa mara...
Na Judith Ferdinand, Timesmajira Online -Mwanza Mkuu wa Wilaya ya Ukerewe Cde.Christopher Ngubiagai,amesisitiza watoto na vijana walio ndani na nje...
Na Mwandishi Wetu, Timesmajira Online-Shinyanga MRADI wa ujenzi wa daraja la zege la Gagi katika Kata ya Ndembezi, Halmashauri ya...
