Mkuu wa Kitengo cha Mawasiliano Serikalini Wizara ya Maliasili na Utalii, Bi. Dorina Makaya (wa pili kutoka kushoto) na Meneja Msaidizi TFS kanda ya Kati, Bi. Patricia Manonga ( wa tatu kutoka kulia) wakiwa pamoja na baadhi ya Watumishi wa Wizara ya Maliasili, Taasisi na Vyuo wakisherehekea Ushindi walioupata mara baada ya kukabidhiwa cheti cha ushindi wa kwanza katika kundi la Wizara Sekta ya Uchumi - Uzalishaji kwenye sherehe ya siku ya Wakulima - Nane Nane 2020 zilizofanyika kwenye uwanja wa Nzuguni jijini Dodoma. (Na Mpigapicha Wetu).
More Stories
Ubunifu wa Viwanda wazalisha ajira 220 Arusha
Serikali yaongeza mapambano dhidi ya Lumbesa Nchini
TIRDO kuboreshwa kuchochea mapinduzi ya Viwanda