Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akikagua ukarabati wa majengo ya Shule ya Sekondari  ya wavulana Tabora  wakati alipotembelea Shule hiyo, leo Agosti 28, 2021. Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akitazama kitabua ambacho Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Nyerere alisajaliwa kuwa mwanafunzi wa Shule ya Sekondari ya Wavulana Tabora kwa nambari 590 wakati alipokagua ukarabati wa majengo ya shule hiyo, leo Agosti 28, 2021 Muonekano wa sehemu ya bweni la Shule ya Sekondari ya Wavulana Tabora baada ya ukarabti uliofanywa na serikali. Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa alikagua ukarabati huo, leoAgosti 28, 2021. (Picha na Ofisi ya Wziri Mkuu) Post Views: 1,597 Continue Reading Previous Mbio za Mwenge kukagua miradi ya bil.2/- MtwaraNext Serikali yadhamiria kutimiza ndoto za wanafunzi More Stories 2 min read Habari Ramadhani Brothers watembelea Makao Makuu ya TANAPA May 7, 2024 Hamisi Miraji 2 min read Habari Wananchi waombwa kujitokeza kwenye mashindano ya Tulia Marathon May 7, 2024 zena chitwanga 2 min read Habari Jamii yaaswa kusaidia watoto yatima kutimiza ndoto zao May 7, 2024 Jackline Mkota
More Stories
Ramadhani Brothers watembelea Makao Makuu ya TANAPA
Wananchi waombwa kujitokeza kwenye mashindano ya Tulia Marathon
Jamii yaaswa kusaidia watoto yatima kutimiza ndoto zao