Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzanmia Samia Suluhu Hassan, akitia saini kitabu cha kumbukumbu ya maombolezo kufuatia kifo cha Rais Msataafu wa Awamu ya Tatu Marehemu Mzee Benjamin William Mkapa alipofika nyumbani kwa Marehemu Masaki Jijini Dar er salaam leo Julai 25, 2020 kwa ajili ya kuifariji Familia ya Marehemu.

More Stories
Ubunifu wa Viwanda wazalisha ajira 220 Arusha
Serikali yaongeza mapambano dhidi ya Lumbesa Nchini
TIRDO kuboreshwa kuchochea mapinduzi ya Viwanda