Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzanmia Samia Suluhu Hassan, akitia saini kitabu cha kumbukumbu ya maombolezo kufuatia kifo cha Rais Msataafu wa Awamu ya Tatu Marehemu Mzee Benjamin William Mkapa alipofika nyumbani kwa Marehemu Masaki Jijini Dar er salaam leo Julai 25, 2020 kwa ajili ya kuifariji Familia ya Marehemu.

More Stories
Serikali:Usimamizi madhubuti wapunguza udanganyifu mitihani
Hafla uzinduzi Mji wa Serikali yaahirishwa
Samizi ataka NHIF kuongeza kasi usajili wanachama