Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzanmia Samia Suluhu Hassan, akitia saini kitabu cha kumbukumbu ya maombolezo kufuatia kifo cha Rais Msataafu wa Awamu ya Tatu Marehemu Mzee Benjamin William Mkapa alipofika nyumbani kwa Marehemu Masaki Jijini Dar er salaam leo Julai 25, 2020 kwa ajili ya kuifariji Familia ya Marehemu.

More Stories
Wananchi Wahimizwa Kutafuta Ushauri wa Kisaikolojia kwa Wataalamu
Kihongosi amuita Msigwa Kanjanja wa Siasa
TBS YAJIPANGA KIDIGITALI, YAIMARISHA MAABARA KWA SOKO LA DUNIA