Na Mwandishi wetu, TimesMajira Online


Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akiwasili katika Uwanja wa ndege wa Dodoma alipokua akitokea Zanzibar alikohudhuria Maadhimisho ya miaka 58 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanziba leo tarehe 12 Januari 2022.
PICHA NA IKULU
More Stories
Dkt. Maponga: Watanzania walinde amani dhidi ya ushawishi wa vurugu
Nchimbi ashuhudia mchango wa nishati safi,aipongeza REA
Wanu:Grand Challenges kukuza ubunifu Tanzania