Na Mwandishi wetu, TimesMajira Online
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Samia Suluhu Hassan, akiwasili katika Uwanja wa ndege wa Dodoma alipokua akitokea Zanzibar alikohudhuria Maadhimisho ya miaka 58 ya Mapinduzi Matukufu ya Zanziba leo tarehe 12 Januari 2022.
PICHA NA IKULU
More Stories
Jamii yaaswa kupanda miti
Watano mbaroni tuhuma za kufanya njama za kuiba mabomba mradi wa maji Buswelu
PPRA yasaini mkataba wa makubaliano wa shilingi bilion 40