Maafisa wa Tume ya Utumishi wa Umma (kutoka kushoto) Bw. Robert Lwanji, Bw. Lamech Mapunda na Bw. Justine Jackson wakisoma vielelezo mbalimbali vilivyowasilishwa na mdau wa tume (kulia). Maafisa wa Tume walikuwa Wilaya ya Kisarawe mkoani Pwani kishughulikia kero na malalamiko kutoka kwa watumishi wa umma, katika Kuadhimisha Wiki ya Utumishi wa Umma, mwaka 2021. (Picha na PSC). Katibu wa Tume ya Utumishi wa Umma, Bwana Nyakimura Muhoji (kulia) akisoma nyaraka mbalimbali zilizowasilishwa na watumishi wa umma na wadau kuhusu kero na malalamiko ya kiutumishi, baada ya kuwatembelea Maafisa wa Tume waliokuwa wakipokea changamoto za kiutendaji za watumishi Wilaya ya Kisarawe, Pwani wakati huu wa Maadhimisho ya Wiki ya Utumishi wa Umma pamoja nae ni Maafisa wa Tume Bw. Robert Lwanji (kushoto) na Bibi Florence Kazuva (Picha na PSC). Katibu wa Tume ya Utumishi wa Umma Bwana Nyakimura Muhoji (aliyevaa shati katikati) katika picha ya pamoja na Maafisa wa Tume walioshiriki katika kupokea na kusikiliza kero, malalamiko na changamoto za kiutendaji kutoka kwa watumishi wa umma na wadau Wilaya ya Kisarawe-Pwani tarehe 16-18 Juni 2021 katika kuadhimisha Maadhimisho ya Wiki ya Utumishi wa Umma 2021. (picha na PSC). Post Views: 1,602 Continue Reading Previous Rais Mwinyi aelekea MsumbijiNext Ripoti bajeti ya lishe yazinduliwa More Stories 1 min read CHAGUO LA MHARIRI (PICHA) Mwenyekiti ACT-Wazalendo akutana na viongozi wa chama hicho taifa March 8, 2024 Judith Ferdnand 1 min read CHAGUO LA MHARIRI (PICHA) Othman ashiriki kikao kamati kuu ACT-Wazalendo March 3, 2024 Judith Ferdnand 2 min read CHAGUO LA MHARIRI (PICHA) Habari Azaki zaungana kutoa msimamo wa pamoja katika mkutano wa COP27 November 2, 2022 Penina Malundo
More Stories
Mwenyekiti ACT-Wazalendo akutana na viongozi wa chama hicho taifa
Othman ashiriki kikao kamati kuu ACT-Wazalendo
Azaki zaungana kutoa msimamo wa pamoja katika mkutano wa COP27