Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dkt.Hussein Ali Mwinyi akisalimiana na kuagana na viongozi wa Serikali katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Abeid Amani Karume jijini Zanzibar, akielekea Nchini Msumbiji kuhudhuria Mkutano wa SADC unaotarajiwa kufanyika kesho jijini Maputo Msumbiji. (Picha na Ikulu). Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi, Dkt.Hussein Ali Mwinyi  akiwa na Mkewe, Mama Mariam Mwinyi wakisalimiana na kuagana na Makamu wa Pili wa Rais wa Zanzibar,Hemed Suleiman Abdulla, katika Uwanja wa Ndege wa Kimataifa wa Abeid Amani Karume Zanzibar, akielekea nchini Msumbuji kuhudhuria Mkutano wa SADC unaotarajiwa kufanyika kesho Jijini Maputo Msumbiji.(Picha na Ikulu). Post Views: 2,005 Continue Reading Previous CCM: Rais amewafaraji wafanyabiasharaNext Mtaturu apendekeza njia bora za kilimo More Stories 3 min read Habari Magonjwa yasiyoambukiza yaendelea kuwa tishio kwa wananchi May 3, 2024 zena chitwanga 3 min read Habari 52 wahitimu mafunzo ya Kilimo cha Utaalam TADB May 3, 2024 Hamisi Miraji 3 min read Habari MAJALIWA:Watendaji wa Serikali ondoeni ukiritimba utoaji wa habari May 3, 2024 Penina Malundo
More Stories
Magonjwa yasiyoambukiza yaendelea kuwa tishio kwa wananchi
52 wahitimu mafunzo ya Kilimo cha Utaalam TADB
MAJALIWA:Watendaji wa Serikali ondoeni ukiritimba utoaji wa habari