DURBAN - AFRIKA KUSINI KAIMU Mkurugenzi Mkuu wa Tume ya Ushindani (FCC), Khadija Ngasongwa, amezishauri nchi wanachama wa Jumuiya ya...
Na.Mwandishi Wetu Kampuni ya Mbolea Tanzania (TFC) imeanza utekelezaji wa mpango mkubwa wa kuongeza upatikanaji wa mbolea nchini kwa kuagiza...
Na Joyce Kasiki, Timesmajira Online, Dodoma MKURUGENZI Mkuu wa Taasisi ya Uthibitishaji wa Mbegu Tanzania (TOSCI), Nyasebwa Chimagu, amewataka wakulima...
Na Joyce Kasiki, Timesmajira Online, Dodoma MAMLAKA ya Usajili wa Biashara na Leseni (BRELA) imewataka wananchi na wafanyabiashara kuhakikisha wanasajili...
Na Joyce Kasiki, Timesmajira Online, Dodoma WAKALA wa Maabara ya Veterinari Tanzania (TVLA) umewataka wafugaji nchini kutumia chanjo ya homa...
Na Joyce Kasiki, Timesmajira Online, Dodoma WAZIRI Mkuu Dkt. Mwigulu Nchemba amelipongeza Shirika la Uvuvi Tanzania (TAFICO) kwa hatua kubwa...
Na Zena Mohamed,Timesmajiraonline,Dodoma MAMLAKA ya Afya ya Mimea na Viuatilifu Tanzania (TPHPA) imeelezwa kuwa ina mchango mkubwa katika kuimarisha uzalishaji...
Na Joyce Kasiki, Dodoma WAZIRI Mkuu, Dkt. Mwigulu Nchemba, ameipongeza Mamlaka ya Afya ya Mimea na Viuatilifu Tanzania (TPHPA) kwa...
Na Zena Mohamed,Timesmajiraonline,Dodoma WAZIRI Mkuu Dkt. Mwigulu Nchemba ameielekeza Benki ya Maendeleo ya Kilimo Tanzania (TADB) kuongeza uwezo wake wa...
Na Mwandishi Wetu, TimesMajira Online Benki ya Standard Chartered Tanzania kupitia Standard Chartered Foundation imetoa msaada wa Shilingi milioni 21.4...
