Na Mwandishi wetu, TimesMajira Online
Naibu Waziri Ofisi ya Waziri Mkuu anayeshughulikia Watu Wenye Ulemavu Mhe. ummy Nderiananga akutana na kufanya mazungumzo na Mkuu wa Mkoa wa Kusini Unguja Mhe.Rashid Hadidi Rashid mapema hii leo Januari 06, 2022 Zanzibar.
Lengo la ziara hiyo ni kujionea utekelezaji wa shughuli za Watu wenye ulemavu Mkoani hapo.
More Stories
Kimbunga “IALY” kimeendelea kuimarika na kusalia katika bahari ya Hindi
Sheria ya Nyuki kuwawajibisha wasiozingatia ubora
Othman akutana na viongozi ngazi mbalimbali wa Act -Wazalendo Unguja