Na Mwandishi wetu,Timesmajira
Aliyekua Mfanyakazi Umoja wa Mataifa Tanzania, Comoro Mwenda ajitosa rasmi kuwania Ubunge Jimbo la Kawe.
Mwenda ana uzoefu zaidi ya miaka 17 kwenye sekta ya afya, elimu, mazingira ukuzaji ujuzi kwa vijana, ustawi uchumi kina mama na makundi ya wenye ulemavu.


More Stories
Osha yatajwa miongoni mwa Taasisi za Kimkakati nchini
Yas yawekeza Sh trilioni 1.2 kuimarisha teknolojia ya afya
Umoja wenye Malengo kukabili changamoto zinazoibuka SADC