Na Mwandishi wetu,Timesmajira
Aliyekua Mfanyakazi Umoja wa Mataifa Tanzania, Comoro Mwenda ajitosa rasmi kuwania Ubunge Jimbo la Kawe.
Mwenda ana uzoefu zaidi ya miaka 17 kwenye sekta ya afya, elimu, mazingira ukuzaji ujuzi kwa vijana, ustawi uchumi kina mama na makundi ya wenye ulemavu.


More Stories
Serikali yahamasisha uwekezaji kupitia TBA
Kituo cha Ubia chakutana na Wanahabari kutekeleza agizo la Rais
Watakiwa kuhamasisha vijana kuchapa kazi