Na Mwandishi wetu,Timesmajira
Aliyekua Mfanyakazi Umoja wa Mataifa Tanzania, Comoro Mwenda ajitosa rasmi kuwania Ubunge Jimbo la Kawe.
Mwenda ana uzoefu zaidi ya miaka 17 kwenye sekta ya afya, elimu, mazingira ukuzaji ujuzi kwa vijana, ustawi uchumi kina mama na makundi ya wenye ulemavu.


More Stories
Senyamule:Serikali inapaswa kuzitambua Kampuni zinazofanya biashara ya ardhi
Serikali kuendelea kupanua fursa elimu Singida
Kumekucha CDF Cup 2026, NMB yaweka Sh milioni 150