Na Mwandishi wetu,Timesmajira
Aliyekua Mfanyakazi Umoja wa Mataifa Tanzania, Comoro Mwenda ajitosa rasmi kuwania Ubunge Jimbo la Kawe.
Mwenda ana uzoefu zaidi ya miaka 17 kwenye sekta ya afya, elimu, mazingira ukuzaji ujuzi kwa vijana, ustawi uchumi kina mama na makundi ya wenye ulemavu.


More Stories
RC akemea uvuvi haramu
DC:World Vision chachu ya maendeleo nchini
Usimikaji mitambo hewa tiba wamkosha Kihongosi