Na Yusuph Digossi, TimesMajira Online
MASHABIKI mbalimbali waliojitokeza katika uwanja wa Benjamin Mkapa kushuhudia mchezo wa Watani wa Jadi, Simba na Yanga utakaoanza saa 11:00 jioni wamelalamikia utaratibu mbovu wa kuingia uwanjani jambo linalosababisha msongamano mkubwa wa mashabiki.
Baadhi ya mashabiki hao wameuambia Mtandao huu kuwa, utaratibu uliowekwa ni kama umeshindwa kusimamiwa jambo linalofanya baadhi ya mashabiki kujichomeka katika mistari hiyo.

More Stories
Serikali yaeleza mkakati kuendeleza michezo,wenye ulemavu
Kamati ya Bunge Yapokea Taarifa ya AFCON 2027
Yanga yatwaa Ngao ya Jamii ,Simba chali