Na Mwandishi Wetu, Timesmajira Online
Rais wa Tanzania, Dkt. Samia Suluhu Hassan amemteua Paul Christian Makonda kuwa Mkuu wa Mkoa wa Arusha.
Kabla ya uteuzi huu Makonda alikuwa Katibu wa Itikadi, Uenezi na Mafunzo wa Chama cha Mapinduzi (CCM).
Ambaye anachukua nafasi ya John Vianney Mongella ambaye atapangiwa kazi nyingine.
More Stories
Breaking News: Rais Samia afanya uteuzi
Breaking News: Makalla achukua mikoba ya Makonda
BREAKING NEWS: AICC yapata Mkurugenzi mpya