TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARI
Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Samia Suluhu Hassan amemteua Christine Gideon Mwakatobe (Pichani kulia) kuwa Mkurugenzi Mtendaji wa Kituo cha Mikutano cha Kimataifa Arusha (AICC).
Mwakatobe alikuwa Mkurugenzi Mkuu wa Kampuni ya Uendelezaji Kiwanja cha ndege cha Kilimanjaro (KADCO).
Uteuzi huu unaanza mara moja.
More Stories
Msamaha wa Rais Dkt.Samia kwa wafungwa miaka 60 ya muungano
Matukio ya picha katika sherehe za miaka 60 ya Muungano
Tanzania yaieleza UN hakuna wananchi waliohamishwa kwa nguvu Ngorongoro na Loliondo