Rais wa Madagascar, Andry Rajoelina akiwapungia wananchi alipowasili kwenye uwanja wa michezo wa Barea uliopo Mahamasina kuapishwa kuwa Rais wa nchi hiyo kwa kipindi cha tatu, Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akisalimiana na Rais wa Msumbiji, Filipe Nyusi katika sherehe za kumwapisha Rais wa Madagascar, Andry Rajoelina zilizofanyika kwenye uwanja wa michezo wa  Barea uliopo Mahamasina, Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Rais wa Msumbiji, Filipe Nyusi katika sherehe za kumwapisha Rais wa Madagascar, Andry Rajoelina wa Madagascar   zilizofanyika kwenye uwanja wa michezo wa  Barea uliopo Mahamasina, Desemba 16, 2023. Kushoto ni mkewe Mama Mary Majaliwa. Rais wa Madagascar, Andry Rajoelina akiwa na mkewe, Mialy Rajoelina, na watoto wao Arena na Ilonstoa Rajoelina (kulia) baada ya kuapishwa kuwa Rais wa nchi hiyo kwa kipindi cha tatu katika sherehe zilizofanyika kwenye uwanja wa michezo wa Barea uliopo Mahamasina, Rais wa Comoro, Azali Assoumani akisalimiana na Mke wa Waziri Mkuu, Mama Mary Majaliwa katika sherehe za kumwapisha Rais wa Madagascar, Andry Rajoelina zilizofanyika kwenye uwanja wa michezo wa Barea uliopo Mahamasina, leo. Kulia ni Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa. Post Views: 269 Continue Reading Previous Serikali kuwekeza kurahisisha mitihani mtandaoniNext Naibu Waziri asimikwa Uchifu, apewa jina la Mshora More Stories 3 min read Habari DC.Lulandaka:Miaka 60 ya Muungano na mafanikio lukuki April 28, 2024 Judith Ferdnand 2 min read Habari Kitaifa Wahariri kujadili nafasi ya waandishi matumizi ya gesi April 28, 2024 joyce kasiki 2 min read Habari Furaha Fm yarudisha tabasamu kwa watoto waliokuwa wakiishi mazingira magumu,yatima. April 28, 2024 Penina Malundo
More Stories
DC.Lulandaka:Miaka 60 ya Muungano na mafanikio lukuki
Wahariri kujadili nafasi ya waandishi matumizi ya gesi
Furaha Fm yarudisha tabasamu kwa watoto waliokuwa wakiishi mazingira magumu,yatima.