Na Mwandishi wetu,Timesmajira
Waziri wa Mambo ya Nje na Ushirikiano wa Afrika Mashariki, Balozi Mahmoud Thabit Kombo (Mb) amewasilisha Ujumbe Maalum kutoka kwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. Samia Suluhu Hassan kwa Rais wa Jamhuri ya Djibouti Ismaïl Omar Guelleh wa nchi hiyo.
Waziri Kombo amewasilisha ujumbe huo wakati wa sherehe za uapisho wa Rais Guelleh zilizofanyika Mei 09, 2026 jijini Djibouti.


More Stories
NMB yaibuka Superbrand Afrika Mashariki 2026-2028
MNH Mloganzila yaanza kambi ya Upasuaji wa Nyonga,Magoti na Mabega
Viongozi wataka Vijana waongeze ushiriki katika Ubunifu wa Kidijitali Afrika