NSSF wanatarajia kuwa na kikao kazi na Wahariri wa vyombo vya Habari kwa uratibu wa ofisi ya msajili wa Hazina
Kikao hicho kitafanyika kesho tarehe 25 Septemba, 2023 katika ukumbi wa mikutano wa Julius Nyerere (JNICC) Jijini Dar es Salaam.
Pia Kikao hicho kitaanza saa 3: 00 asubuhi.
Post Views: 220
More Stories
Uwepo wa Kimbunga “IALY” katika bahari ya Hindi Kaskazini Mwadagascar
TMDA yatoa Tuzo kwa waandishi wa habari
Benki ya Azania, Wakulima wa chai wasaini makubaliano