NSSF wanatarajia kuwa na kikao kazi na Wahariri wa vyombo vya Habari kwa uratibu wa ofisi ya msajili wa Hazina
Kikao hicho kitafanyika kesho tarehe 25 Septemba, 2023 katika ukumbi wa mikutano wa Julius Nyerere (JNICC) Jijini Dar es Salaam.
Pia Kikao hicho kitaanza saa 3: 00 asubuhi.
Post Views: 627
More Stories
Katambi atangaza kusitishwa mikutano ya vyama vya siasa
Vyombo vipya 16 vyapatiwa leseni
Watumishi Rukwa wajengewa uwezo kuhusu Ukimwi na magonjwa yasiyoyakuambukiza