NSSF wanatarajia kuwa na kikao kazi na Wahariri wa vyombo vya Habari kwa uratibu wa ofisi ya msajili wa Hazina
Kikao hicho kitafanyika kesho tarehe 25 Septemba, 2023 katika ukumbi wa mikutano wa Julius Nyerere (JNICC) Jijini Dar es Salaam.
Pia Kikao hicho kitaanza saa 3: 00 asubuhi.
Post Views: 666
More Stories
Dkt.Nungu:Haki za wabunifu zilindwe
EWURA yasihi matumizi salama ya umeme na LPG
T-CAMS yaleta mapinduzi sekta ya uwakala wa forodha