NSSF wanatarajia kuwa na kikao kazi na Wahariri wa vyombo vya Habari kwa uratibu wa ofisi ya msajili wa Hazina
Kikao hicho kitafanyika kesho tarehe 25 Septemba, 2023 katika ukumbi wa mikutano wa Julius Nyerere (JNICC) Jijini Dar es Salaam.
Pia Kikao hicho kitaanza saa 3: 00 asubuhi.
Post Views: 653
More Stories
MiXX Yakabidhi Zawadi kwa Washindi wa Kampeni ya Kombe la Dunia
Mwenge wazindua jengo lenye thamani ya bil 3.4
Mavunde kuwa mgeni rasmi LCCF 2026