Na Mwandishi Wetu, TimesMajira Online
BAADA ya Masaa kadhaa kupita tangu Spika wa Bunge Job Ndugai kuandika barua ya kujiuzulu,Katibu Mkuu wa Chama Cha Mapinduzi (CCM) Daniel Chongolo amethibitisha kupokea barua ya Spika huyo Ndugai ya kujiuzuru nafasi ya Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.
Katibu Mkuu Chongolo ameeleza kuwa mchakato wa kumpata Spika mwingine baada ya nafasi hiyo kubaki wazi unaendelea.


More Stories
WATU WASIOJULIKANA
Tambua Haki Zako Mtandaoni
Auto Login: Urahisi Unaoweza Kuhatarisha Faragha na Usalama Wako Mtandaoni