Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya Maendeleo ya Kilimo nchini (TADB), Japhet Justin (kushoto) akisikiliza jambo kutoka kwa Afisa Mtendaji Mkuu wa African Guarantee Fund (AGF) Jules Ngankam (kulia) mara baada kutiliana saini Randama ya Makubaliano ya kutoa dhamana ya mkopo wa kiasi cha dola za Marekali Milioni 20 kwa wakulima wadogo, wakati na wakubwa. Katikati ni Kamshina wa Idara ya Maendeleo ya sekta ya fedha Wizara ya Fedha na Mipango,Dkt. Charles Mkurugenzi Mtendaji wa Benki ya Maendeleo ya Kilimo Nchini(TADB), Japhet Justine (kushoto) akionesha randama ya makubaliano mbele ya waandishi wa habari akiwa na Afisa Mtendaji Mkuu wa African Guarantee Fund (AGF), Jules Ngankam yenye lengo la kutoa dhamana ya mkopo wa kiasi cha dola za Marekali Milioni 20 kwa wakulima wadogo, wakati na wakubwa hapa nchini. Katikati ni Kamshina wa Idara ya Maendeleo ya sekta ya fedha Wizara ya Fedha na Mipango,Dkt. Charles Mwamwaja. Picha zote na mpiga picha wetu. Post Views: 571 Continue Reading Previous KDCU yaongeza tija ya uzalishaji wa KahawaNext Elimu ya hifadhi ya jamii yavutia wengi Maonesho ya Sabasaba More Stories 2 min read Habari Kitaifa TPDC kuunganisha na gesi asilia nyumba 1000 April 19, 2024 joyce kasiki 2 min read Habari Kitaifa EWURA yahamasisha ujenzi vituo gesi asilia April 19, 2024 joyce kasiki 2 min read Habari Kitaifa Serikali kutumia bilioni 841.19 ujenzi wa barabara za wilaya April 17, 2024 joyce kasiki
More Stories
TPDC kuunganisha na gesi asilia nyumba 1000
EWURA yahamasisha ujenzi vituo gesi asilia
Serikali kutumia bilioni 841.19 ujenzi wa barabara za wilaya