Waziri Mkuu Dkt. Mwigulu Nchemba leo Desemba 17,2025 amekagua uharibifu uliofanyika katika mizani ya magari iliyopo Mpemba, mkoani Songwe, uharibifu huo ulitokana na vurugu zilizotokea Oktoba 29, 2025.
Dkt. Mwigulu yupo mkoani Songwe kwa ziara ya kikazi
More Stories
Mix yaendelea kugawa Mamilioni
Katambi atangaza kusitishwa vibali vya mikutano ya Siasa
Uvccm Mtwara yasisitiza Ulinzi wa Amani