Waziri Mkuu Dkt. Mwigulu Nchemba leo Desemba 17,2025 amekagua uharibifu uliofanyika katika mizani ya magari iliyopo Mpemba, mkoani Songwe, uharibifu huo ulitokana na vurugu zilizotokea Oktoba 29, 2025.
Dkt. Mwigulu yupo mkoani Songwe kwa ziara ya kikazi
More Stories
Hospital ya Wilaya Mbarali yapokea vifaa tiba
Mpogolo aagiza mitaro Kariakoo kuzibuliwa
TCRA, Polisi na mkakati kudhibiti uhalifu mtandaoni Rukwa