Waziri Mkuu Dkt. Mwigulu Nchemba leo Desemba 17,2025 amekagua uharibifu uliofanyika katika mizani ya magari iliyopo Mpemba, mkoani Songwe, uharibifu huo ulitokana na vurugu zilizotokea Oktoba 29, 2025.
Dkt. Mwigulu yupo mkoani Songwe kwa ziara ya kikazi
More Stories
Maboresho sheria yaongeza ushiriki wa watanzania kwenye migodi
Wizara ya Afya yatoa elimu elekezi huduma za afya
Prof.Kabudi:Tumepiga hatua utoaji huduma za Afya