Waziri Mkuu Dkt. Mwigulu Nchemba leo Desemba 17,2025 amekagua uharibifu uliofanyika katika mizani ya magari iliyopo Mpemba, mkoani Songwe, uharibifu huo ulitokana na vurugu zilizotokea Oktoba 29, 2025.
Dkt. Mwigulu yupo mkoani Songwe kwa ziara ya kikazi
More Stories
DCEA, VETA kuwapa ujuzi warahibu dawa za kulevya
Ahukumiwa kunyongwa hadi kufa kwa mauaji ya familia
Kihongosi ahimiza ulipaji ada ya uanachama