Na Mwandishi wetu, Timesmajira Online DSM
Msanii mkongwe wa muziki Jose Chameleone Amewasili Nchini Tanzania kwaajili ya Tamasha kubwa la October Fest litakalofanyika coco Beach jijini Dar es salaam
Tamasha hilo la “SERENGETI LITE OKTOBA FEST” litajumuisha wasanii lukuki kutoka hapa Nchini Tanzania wakiongozwa na Alikiba, billinas, Chino kidd, Gnako na Msanii kutoka nchini kenya Nyamari ongegu “Nyashiski pamoja na Jose chameleone
More Stories
Twanga Pepeta waikubali ‘Speed’ ya Rais Samia
Ali Kiba aitaka jamii kuwasaidia watoto wenye uhitaji maalumu
Azam TV yazindua filamu mpya