MELBOURNE, Australia
BONDIA Vasilly Lomachenko, amekubali dili la kuzichapa na George Kambosos Jr (WBA, IBF, WBO). Lomachenko yupo kwao Ukraine kupigania amani ya nchi yake, huku juhudi zikifanyika kumtoa, ili aanze kambi kujiandaa na pambano hilo.
Pambano hilo linatarajiwa kufanyika Juni 05 mwaka huu mjini Melbourne, Australia.
More Stories
Magwiji 27 wafuzu raundi ya tatu mashindano ya kumuenzi Lina
Mafanikio Wizara ya Ulinzi kwenye michezo miaka 60 ya muungano
Mbunge Bonnah agawa jezi za mashindano ya Bonah Cup 2024