MELBOURNE, Australia
BONDIA Vasilly Lomachenko, amekubali dili la kuzichapa na George Kambosos Jr (WBA, IBF, WBO). Lomachenko yupo kwao Ukraine kupigania amani ya nchi yake, huku juhudi zikifanyika kumtoa, ili aanze kambi kujiandaa na pambano hilo.
Pambano hilo linatarajiwa kufanyika Juni 05 mwaka huu mjini Melbourne, Australia.

More Stories
Pre-Betika Tulia Marathon kuhamasisha mazoezi kwa jamii
“Michezo ni afya,ajira” -DC.Ngubiagai
Watanzania wang’ara Yas Kill Intenational half Marathon 2026