April 26, 2024

Timesmajira

Gazeti Huru La Kila Siku

NEW YORK, NY - DECEMBER 09: Vasiliy Lomachenko prepares for his Junior Lightweight bout against Guillermo Rigondeaux during their at Madison Square Garden on December 9, 2017 in New York City. (Photo by Steven Ryan/Getty Images)

Bondia Lomachenko akubali kuzichapa na Kambosos jr

MELBOURNE, Australia

BONDIA Vasilly Lomachenko, amekubali dili la kuzichapa na George Kambosos Jr (WBA, IBF, WBO). Lomachenko yupo kwao Ukraine kupigania amani ya nchi yake, huku juhudi zikifanyika kumtoa, ili aanze kambi kujiandaa na pambano hilo.

Pambano hilo linatarajiwa kufanyika Juni 05 mwaka huu mjini Melbourne, Australia.