Na Mwandishi Wetu, Timesmajira Online
CHIPUKIZI wa muziki wa Bongo fleva kutoka Kondegangs, Anjella amesema wasanii wanatakiwa kupambana katika muziki iii waweze kufika pale wanapotaka.
Akiweka wazi hilo kupitia kwenye Ukurasa wake wa Instagram Anjella amesema,kila kitu kinapangwa na Mungu hata kama kina changamoto cha msingi kutokana tamaa.
“Kila kitu kinachotokea ujue Mungu amekiruhusu hata kama kiwe na changamoto kiasi gani, tunachotakiwa ni kupambana hadi tufike tunapotakiwa kufika, hakuna kukata tamaa,” amesema Anjella.

More Stories
Burudani zapamba utambulisho wa ‘Fanta Berry’ nchini
Chief Hangaya Festival kufanyika Aprili 19,2026
Wajumbe wa Mkutano Mkuu wa CCM wakiburudika kusubiri Uzinduzi Ilani ya CCM 2025-2030