Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akikagua ukarabati wa majengo ya Shule ya Sekondari  ya wavulana Tabora  wakati alipotembelea Shule hiyo, leo Agosti 28, 2021. Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akitazama kitabua ambacho Baba wa Taifa, Mwalimu Julius Nyerere alisajaliwa kuwa mwanafunzi wa Shule ya Sekondari ya Wavulana Tabora kwa nambari 590 wakati alipokagua ukarabati wa majengo ya shule hiyo, leo Agosti 28, 2021 Muonekano wa sehemu ya bweni la Shule ya Sekondari ya Wavulana Tabora baada ya ukarabti uliofanywa na serikali. Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa alikagua ukarabati huo, leoAgosti 28, 2021. (Picha na Ofisi ya Wziri Mkuu) Post Views: 1,606 Continue Reading Previous Mbio za Mwenge kukagua miradi ya bil.2/- MtwaraNext Serikali yadhamiria kutimiza ndoto za wanafunzi More Stories 1 min read Habari Kimbunga “IALY” kimeendelea kuimarika na kusalia katika bahari ya Hindi May 19, 2024 Penina Malundo 1 min read Habari Sheria ya Nyuki kuwawajibisha wasiozingatia ubora May 19, 2024 Penina Malundo 1 min read Habari Othman akutana na viongozi ngazi mbalimbali wa Act -Wazalendo Unguja May 19, 2024 Penina Malundo
More Stories
Kimbunga “IALY” kimeendelea kuimarika na kusalia katika bahari ya Hindi
Sheria ya Nyuki kuwawajibisha wasiozingatia ubora
Othman akutana na viongozi ngazi mbalimbali wa Act -Wazalendo Unguja