




Afisa wa Jeshi la Polisi mjini Gujarat akiwa amemdhibiti mmoja wahamiaji wafanyakazi wakati wa maandamano ya kushinikiza Serikali ya Gujarat kutoa vibali vya wao kurejea nyumbani wakati huu ambao Taifa la India linaendelea na utekelezaji wa agizo la zuio la kukaa ndani ili kuepuka kusambaza virusi vya corona. Wafanyakazi hao wanatokea mjini Surat,Ahmedabad uliopo zaidi ya kilomita 270. (Picha na AFP).





More Stories
Wanawake na vijana nguvu ya viwanda
Wizara yasuluhisha mgogoro wa Kampuni na Mkandarasi
Tutuba ahimiza matumizi ya Taasisi rasmi za fedha