




Afisa wa Jeshi la Polisi mjini Gujarat akiwa amemdhibiti mmoja wahamiaji wafanyakazi wakati wa maandamano ya kushinikiza Serikali ya Gujarat kutoa vibali vya wao kurejea nyumbani wakati huu ambao Taifa la India linaendelea na utekelezaji wa agizo la zuio la kukaa ndani ili kuepuka kusambaza virusi vya corona. Wafanyakazi hao wanatokea mjini Surat,Ahmedabad uliopo zaidi ya kilomita 270. (Picha na AFP).





More Stories
Tanzania yaongeza nguvu ajenda ya Wanawake Duniani
Kapinga:Taka sifuri kukuza sekta ya viwanda
JWTZ ,Majeshi EAC yaimarisha ushirikiano