







Matukio mbalimbali katika picha kwenye maadhimisho ya sherehe za miaka 60 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar.Sherehe za Muungano hufanyika Aprili 26 ya kila mwaka tangu mwaka 1964 zilipoungana Tanganyika na Zanzibar ambapo mwaka huu zimefanyika Kitaifa katika uwanja wa Benjamini Mkapa jijini Dar es Salaam.

More Stories
Nmb yazindua kadi inayorahisisha upatikanaji wa mitaji
Ndejembi: Bomba la mafuta EACOP lafikia hatua za mwisho
Pedima ang’ara kimataifa,Tuzo za Ubunifu