Matukio mbalimbali katika picha kwenye maadhimisho ya sherehe za miaka 60 ya Muungano wa Tanganyika na Zanzibar.Sherehe za Muungano hufanyika Aprili 26 ya kila mwaka tangu mwaka 1964 zilipoungana Tanganyika na Zanzibar ambapo mwaka huu zimefanyika Kitaifa katika uwanja wa Benjamini Mkapa jijini Dar es Salaam.
More Stories
Kanisa la Anglican kuendelea kutoa mafundisho kuzuia mmomonyoko wa maadili
Wauza Mlima kwa Sh.Millioni 20 Kilosa
Watahiniwa 877 Ilemela waanza mtihani kidato cha sita