NJa Mwandishi wetu, TimesMajira Online
Waziri wa Maliasili na Utalii, Dkt.Damas Ndumbaro pamoja na Katibu Mkuu wa Maliasili na Utalii Dkt.Francis Michael wakiwa katika matukio tofauti tofauti katika picha kabla ya kuanza kwa Kongamano la Biashara na Uwekezaji lillilofanyika mapema jana Dubai.

Katika Kongamano hilo lililowakutanisha Wafanyabiashara mbalimbali wa kutoka Tanzania na Umoja wa Falme za Kiarabu Mgeni rasmi alikuwa Rais Mhe.Samia Suluhu Hassan

More Stories
Upatikanaji wa maji Chunya wafikia asilimia 52
MiXX Yakabidhi Zawadi kwa Washindi wa Kampeni ya Kombe la Dunia
Mwenge wazindua jengo lenye thamani ya bil 3.4