Na Mwandishi wetu, TimesMajira Online
Waziri wa Maliasili na Utalii Angellah Kairuki na viongozi mbalimbali leo wametembelea eneo lijulikanalo kama “Animal Kingdom” ikiwa ni Bustani ya wanyama hai kwenye Banda la Wizara hiyo katika Maonesho ya Saba Saba yanayoendelea Dar es Salaam pamoja na kujionea vivutio vingine.





More Stories
Tucta kuzindua kituo cha msaada kwa wafanyakazi wahamiaji Juni 11
Wanasiasa washauriwa kujikita kwenye masuala ya maendeleo
Watakiwa kuimarisha huduma za ushauri vyuoni