



NAIBU Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo, Mhe. Hamis Mwinjuma, ameungana na viongozi mbalimbali pamoja na mashabiki wa soka kushuhudia mchezo wa Ngao ya Jamii uliowakutanisha watani wa jadi, Simba na Yanga, Agosti 12 2026.
Mchezo huo uliokuwa ukisubiriwa kwa hamu na mashabiki wa soka nchini, umemalizika kwa Yanga kuibuka na ushindi wa bao 1-0 dhidi ya Simba na hivyo kutwaa taji la Ngao ya Jamii ambalo wamekabidhiwa na Waziri wa Mambo ya ndani ya nchi, Mhe. Patrobas Katambi

More Stories
Msajili wa Hazina, Fitch Ratings watathmini mageuzi ya taasisi za ummaNa Mwandishi wa OTRDar es Salaam
MNH-Mloganzila kufanya kambi ya upandikizaji figo na urekebishaji wa mishipa ya kuchuja damu
Rais Dkt.Mwinyi atembelea Banda la TTCL Kizimkazi