Na Mwandishi wetu, TimesMajira Online
Jarida la The Rolla daily news la nchini Marekani limeitangaza Mbuga ya Serengeti kuwa kivutio namba moja cha watalii Barani Afrika.
Katika Jarida hilo Ngorongoro imeshika nafasi ya saba na kufanya jumla Tanzania kuingiza mbuga mbili katika nafasi hizo kumi.
More Stories
Watendaji Ubungo wapongeza ubunifu ununuzi wa mitambo
Madaktari bingwa kutoa huduma ya kinywa Arusha
Mixx, Hub wakusanya maelfu fainali kombe la dunia Zanzibar