Na Mwandishi wetu, TimesMajira Online
Jarida la The Rolla daily news la nchini Marekani limeitangaza Mbuga ya Serengeti kuwa kivutio namba moja cha watalii Barani Afrika.
Katika Jarida hilo Ngorongoro imeshika nafasi ya saba na kufanya jumla Tanzania kuingiza mbuga mbili katika nafasi hizo kumi.
More Stories
Wakulima,wafugaji wahimizwa kulinda shughuli zao kwa bima
TanTrade yasisitiza utafiti masoko kuongeza Kilimo
Wananchi watakiwa kutunza,kulinda barabara